ALIYEKUWA Mbunge wa jimbo la Chalinze mkoani Pwani Mh Ridhiwani Kikwete amechukua na kurejesha fomu kwa ajili ya kuendelea kuwatumikia wanachalinze kwa kipindi kingine cha miaka mitano inayoanza 2020-2025.
![]() |
| Mh mbunge wa jimbo la chalinze anayemaliza muda wake Ridhiwani Kikwete akijaza fomu kisha kurejesha(NA SHIUSHU JOEL) |
![]() | |
| Katibu wa CCM wilaya ya Bagamoyo Getrude Sinynza akipokea fomu toka kwa Mh Ridhiwani Kikwete(NA SHUSHU JOEL | 0 |
![]() |
MWISHO.



0 Comments