Na Anita Balingilaki ,
Wajasiliamali 1200 wamefikiwa tangu kuanzishwa kwa
kliniki ya biashara ambayo ina zaidi ya miaka miwili tangu kuanzishwa
![]() |
| Afisa Biashara wa TANTRADE Gilbert Waigama akizungumza jambo na baadhi ya wateja waliotembelea Banda hilo(ANITA) |
Mbali na
hayo ameongeza kuwa jumla ya wataalam 16 kutoka taasisi mbalimbali za serikali
na sekta binafsi zipo kwenye maonesho ya nanenane yanayofanyika kitaifa viwanja
vya nyakabindi vilivyopo wilayani Bariadi mkoani Simiyu hivyo ni vema wananchi
hususan wafanyabiashara kutumia fursa ya maonesho hayo.
![]() |
| Watoaji wa Huduma kutoka srkta mbalimbali za serikali wakiwa tayari kwa kugfanya kazi |
Katika hatua
nyingine amesema changamoto wanazokabiliana nazo ni pamoja na baadhi ya wateja
kutoa taarifa nusu nusu au ambazo hazina uhakika.
mwisho..


0 Comments