UVCCM BUKOMBE YAUNGANA NA RAIS DKT SAMIA KUDUMISHA AMANI YA NCHI


Na Shushu Joel, Bukombe

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (Uvccm) Wilaya ya Bukombe Mkoani Geita  Ndugu. Nelvin Salabaga  anaungana na Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. ๐—ฆ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ฆ๐˜‚๐—น๐˜‚๐—ต๐˜‚ ๐—›๐—ฎ๐˜€๐˜€๐—ฎ๐—ป katika kusimama kidete katika kudumisha na kulinda Amani ya nchi yetu na kuwataka Wana Bukombe i na Taifa kwa ujumla kusherehekea siku ya uhuru kwa utulivu tukiwa nyumbani kwetu.


Aidha amewataka vijana kutambua kuwa wao ndio viongozi wa Taifa hili hivyo wasikubali kudanganyika na visenti ambavyo ni hatari kwa hatma ya Nchi yao kesho.


"Tanzania ndio nchi yangu sina pahala pengine pa kwenda sitaki kuwa mtumwa" Ndg Salabaga


MWISHO

Post a Comment

0 Comments