RAIS MAGUFULI AMTUMBUA DED IGUNGA.

Na Shushu Joel.

RAIS wa Jmhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Igunga Mkoani Tabora Revocatus Kuuli.

Rais wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli
Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Kuuli leo Dec 28,2020 kutokana na kukabiliwa na tuhuma za kutwaa ardhi ya wananchi bila kufuata utaratibu,utendaji kazi usioridhisha na matumizi mabaya ya fedha za maduhuli ya Serikali.

Aidha Rais Magufuli amemuagiza  Mkuu wa Mkoa wa Tabora Dkt Phillemon Sangati kuteua Kaimu Mkutugenzi wa Halmashauri hiyo mara moja ili huduma za wananchi ziendelee kufanyika kwa jamii

MWISHO

 

Post a Comment

0 Comments