MAKAMU WA RAIS DKT MPANGO ATEMBELEA RUVU CHINI.

Na Shushu Joel,Pwani 
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Mpanga amefanya ziara Mkoani Pwani katika mitamba ya uzalishaji wa maji Ruvu chini kwa lengo la kujionea kile kinachoendelea katika mitambo hiyo.




 Katika ziara hiyo hiyo Makamu wa Rais Dkt Mpango ameambatana na Mtendaji Mkuu wa DAWASA Crypian Luhemaji na viongozi wengine mbalimbali wa Mkoa huo na wilaya ya Bagamoyo

Post a Comment

0 Comments