CPA LUBUVA AJITOSA UBUNGE JIMBO LA KONDOA


 MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya  CPA.Hassan Lubuva amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya  kugombea ubunge katika  jimbo la Kondoa 


CPA Lubuva  amechukua fomu hiyo leo Juni 30, 2025   na  kukabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa Wazazi  wa chama -CCM -Juma Seif katika ofisi za chama hicho wilaya ya  Kondoa.


katika jimbo Hilo la Kondoa zaidi watia kwa nafasi ya ubunge mpaka Sasa wamefika 9 na tarehe 2 ni mwisho wa kuchukua fomu hizo.

Post a Comment

0 Comments