Na Shushu Joel, Kigamboni 𝑨𝒔𝒊𝒔𝒊𝒕𝒊𝒛𝒂 𝒌𝒖𝒅𝒖𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑨𝒎𝒂𝒏𝒊 𝒌𝒘𝒂 𝑽𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒐 Mjumbe wa Baraza kuu Wazazi Taifa (viti 3- Bara) Dkt. Ally Mandai, ameendelea kutoa somo la kuziishi kwa vitendo Falsafa ya R4 za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Cham…
Read moreNa Shushu Joel, Kisarawe MJUMBE wa Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa anayetokana na Umoja wa Wanawake Tanzania Bi, Nadra Ghulam amewaonya watumishi wa umma wenye tabia ya kuichonganisha ccm na wananchi. Onyo hilo amelitoa alipokuwa akizungumza na wananchi wa kijiji cha M…
Read moreNa Shushu Joel, Rufiji. MBUNGE wa Mkoa wa Pwani Mhe Subira Mgalu ameridhidhwa na ujenzi wa miradi mbalimbali inayoendelea kujenga na ile iliyokamilika katika Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani. Haya ameyasema alipotembelea katika kituo cha Afya cha Ikwiriri na katika ujenzi unaoendela wa sh…
Read moreNa Shushu Joel, Rufiji MJUMBE wa Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa anayetokana na Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Bi,Nadra Ghulam amewataka wananchi kutokuwa waoga pindi wanapofanyiwa ukatili wa aina yeyote ile. Rai hiyo ameitoa alipokuwa akizungumza na wananchi wa kata …
Read moreNa Shushu Joel, Kibaha MJUMBE wa Baraza kuu la Umoja wa Wanawake Taifa na Mbaraza wa Jumuiya hiyo Hajat Mariam Ulega amechangia jumla ya kiasi cha shilingi Milioni 31kwa ajili ya Nyumba za watumishi wa Jumuiya hiyo ya UWT katika Mkoa wa Pwani. Akizungumza na HABARI MPYA MEDIA Hajat Mari…
Read moreNa Shushu Joel, Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt.Doto Biteko ameliomba Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuidhinisha Bajeti ya Wizara ya Nishati kwa mwaka 2025/2026 ya kiasi cha shilingi Trilioni 2.2 ambapo asilimia 96.5 ya Bajeti yote ni kwa ajili ya Miradi…
Read moreNa Mwandishi wetu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akisalimiana na Askofu wa Mafinga, Mhashamu Vincent Mwagala wakati alipowasili katika Ibada ya kumsimika na kumuweka wakfu Askofu wa Jimbo la Iringa, Mhashamu Romanus Mihali iliyofanyika katika Viwanja vya Ki…
Read more