Na Shushu Joel WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea na ujenzi wa miradi ya maji katika maeneo yote nchini ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma hiyo karibu na makazi yao. Ameyasema hayo leo (…
Read moreNa Shushu Joel, Dar CEO wa kampuni ya Tremendous Catalogue ya Jijijini Dar es Salaam Bi, Batuli Omary amesema kuwa heshima kubwa inayotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ni kubwa sana na isiyo ya kifani. Akizungunza na HABARI MPYA BLOG alisema kuwa …
Read moreNa Shushu Joel, Zanzibar MJUMBE wa Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM) Taifa anayetokana na Umoja na Wanawake Tanzania Bi, Nadra Ghulam amewataka watanzania kuendelea kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa maendeleo anayoyafanya. …
Read moreNa Shushu Joel, Kisarawe. MJUMBE wa Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa anayetokana na Umoja wa Wanawake Tanzania Bi Nadra Ghulam ametoa maagizo kwa viongozi wa Mamlaka ya maji wilaya ya Kisarawe Mkoani Pwani kuhakikisha wanawapatia huduma wananchi kwa wakati. Maagizo hayo …
Read moreNa Shushu Joel, Kigamboni 𝑨𝒔𝒊𝒔𝒊𝒕𝒊𝒛𝒂 𝒌𝒖𝒅𝒖𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑨𝒎𝒂𝒏𝒊 𝒌𝒘𝒂 𝑽𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒐 Mjumbe wa Baraza kuu Wazazi Taifa (viti 3- Bara) Dkt. Ally Mandai, ameendelea kutoa somo la kuziishi kwa vitendo Falsafa ya R4 za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Cham…
Read moreNa Shushu Joel, Kisarawe MJUMBE wa Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa anayetokana na Umoja wa Wanawake Tanzania Bi, Nadra Ghulam amewaonya watumishi wa umma wenye tabia ya kuichonganisha ccm na wananchi. Onyo hilo amelitoa alipokuwa akizungumza na wananchi wa kijiji cha M…
Read moreNa Shushu Joel, Rufiji. MBUNGE wa Mkoa wa Pwani Mhe Subira Mgalu ameridhidhwa na ujenzi wa miradi mbalimbali inayoendelea kujenga na ile iliyokamilika katika Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani. Haya ameyasema alipotembelea katika kituo cha Afya cha Ikwiriri na katika ujenzi unaoendela wa sh…
Read more